Siku ya Saratani ya Figo Duniani 2026: Weka Mbele Ustawi Wako wa Kihisia Kila mwaka mnamo Juni 18, jamii ya kimataifa huungana kuadhimisha Siku ya Saratani ya Figo Duniani. Mwaka huu, msisitizo unaelekezwa kwenye nyanja muhimu lakini mara nyingi inayopuuzwa katika safari ya mgonjwa: ustawi wa kihisia. 85% ya wagonjwa wa saratani ya figo hupata athari katika afya yao ya kihisia. Wengi mno kati yao hawajadili jambo hili kabisa na familia, marafiki, au timu zao za matibabu. Chanzo: Utafiti wa Kimataifa wa Wagonjwa wa IKCC, 2025 Kulingana na Utafiti wa Kimataifa wa Wagonjwa wa Muungano wa Kimataifa wa Saratani ya Figo (IKCC), asilimia 85 ya wagonjwa wa saratani ya figo hupitia athari kubwa katika ustawi wao wa kihisia. Hata hivyo, wengi wao hukabiliana na changamoto hizi zilizofichika kimyakimya, bila kuwashirikisha familia zao, marafiki, au jopo la madaktari wanaowatibu. Changamoto hizo ni kama vile wasiwasi wa ugonjwa kurudi, kifo, mafadhaiko, kuhisi kutengwa nk Kugundulika kuwa na ugon...
Search This Blog
Feliciana Mshanga Memorial Cancer Foundation
Cancer organization in Tanzania
Posts
Featured
Latest Posts
Mafuta katika Ini: Mwongozo wa Kuelewa Uhusiano Kati ya Ini la Mafuta na Saratani
- Get link
- X
- Other Apps
Bladder Cancer in Tanzania: Awareness Gaps and the Need for Early Detection
- Get link
- X
- Other Apps
Utafiti wa Kimataifa wa Wagonjwa Mwaka 2026 kuhusu Saratani ya Mitoki (Lymphoma) na Damu (CLL)
- Get link
- X
- Other Apps


